Nikki Mbishi Ampongeza Harmonize Kuondoka WCB

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rapa wa muziki wa Hip Hop nchini, Nikki Mbishi amevunja ukimya kwa kumpa pongezi msanii mwenzake upande wa Bongo Fleva, Harmonize kwa kuamini anaweza kusimama na kuanzisha familia nyingine.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nikki azungumzia kufuatia hatua hiyo aliyopiga mkali huyo kwa kuamua kuanzisha familia yake ya Konde Gang.

Aidha, Nikki ameandika kuwa ilibidi wakina Sugu na ProfessorJay wawe Ma CEO wa kampuni kubwa za muziki lakini hawajaweza kufanya hivyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad