AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa wa muziki wa Hip Hop nchini, Nikki Mbishi amevunja ukimya kwa kumpa pongezi msanii mwenzake upande wa Bongo Fleva, Harmonize kwa kuamini anaweza kusimama na kuanzisha familia nyingine.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nikki azungumzia kufuatia hatua hiyo aliyopiga mkali huyo kwa kuamua kuanzisha familia yake ya Konde Gang.
Aidha, Nikki ameandika kuwa ilibidi wakina Sugu na ProfessorJay wawe Ma CEO wa kampuni kubwa za muziki lakini hawajaweza kufanya hivyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK