AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sio wote ambao hawajaolewa wanapenda, KUOLEWA NI MAJAALIWA WALA SIO UZURI, ELIMU, KUJIHESHIMU, AU KUJIFUNIKIZA NGUO NDEFU kuolewa ni Bahati tu.
Mwanamke asihukumiwe Heshima yake kutokana na her Marital Status sababu Wengi wameolewa tu basi ilimradi waonekane na kujikuta wanaingia kwenye Mateso na wanaume katili wenye roho mbaya hadi kupewa kilema cha kudumu.
Wanawake wengine wana tabia njema lakini hawaolewi kwasababu zilizo nje ya uwezo wao example ulemavu au ugumba wa kuzaliwa" amesema Sabby Angel aliyewahi kuolewa kisha kuikacha ndoa Kwa alichoeleza ni kuepuka manyanyaso yaliyopitiliza
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK