Sabby Angel "Kuolewa Sio Uzuri, Elimu, Kujieshimu au Kuvaa Nguo Ndefu...Kuolewa ni Bahati"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

“Hili Suala ambalo limetawala Jamii kuhusu wanawake walioolewa kuheshimiwa zaidi kuliko wanawake ambao hawajaolewa naliona sio sahihi kwani kuna wanawake walioolewa wasiojiheshimu wenye Vijitabia vya ovyo kuliko Baadhi ya wanawake ambao hawajaolewa ila wananidhamu na kujiheshimu.

Sio wote ambao hawajaolewa wanapenda, KUOLEWA NI MAJAALIWA WALA SIO UZURI, ELIMU, KUJIHESHIMU, AU KUJIFUNIKIZA NGUO NDEFU kuolewa ni Bahati tu.

Mwanamke asihukumiwe Heshima yake kutokana na her Marital Status sababu Wengi wameolewa tu basi ilimradi waonekane na kujikuta wanaingia kwenye Mateso na wanaume katili wenye roho mbaya hadi kupewa kilema cha kudumu.

Wanawake wengine wana tabia njema lakini hawaolewi kwasababu zilizo nje ya uwezo wao example ulemavu au ugumba wa kuzaliwa" amesema Sabby Angel aliyewahi kuolewa kisha kuikacha ndoa Kwa alichoeleza ni kuepuka manyanyaso yaliyopitiliza
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad