AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi, amezungumzia mahusiano yake na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu), ambapo amempongeza kwa maamuzi ya kuoa kwa madai ya kwamba ameamua kuchagua tabia njema na si mwonekano wa mtu.
Akizungumza na EATV&EA Radio Digital Katambi amesema kuwa, licha ya kumpongeza lakini amemtaka kuachana na mambo yasiyokuwa na tija kwa wananchi wake na badala yake afanye vitu ambavyo ni bora kama alivyoamua kuchuja na kuchagua mmoja kati ya wale mamilioni aliokuwa nao na kupata mke aliye mwema.
''Sugu si unajua alikuwa mzee wa Toto nyingi, hata kuoa kwake naona hakuangalia sana sura alijikita nadhani kwenye tabia, lakini sasa kwa umakini huo alioutumia kuchuja katika kuoa basi ajichuje kwenye siasa, afanye siasa zenye tija na maendeleo zitakazosaidia Taifa na watu wa Mbeya kupunguza walau yale maneno yasiyo na tija, kwahiyo kama alishauriwa akaona hilo akaweza kulifanya na watu tukampongeza basi na kwenye siasa ajitahidi napo tutampongeza'' amesema DC Katambi.
Mbunge Sugu alifunga ndoa siku ya Agosti 31, 2019 na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Happiness Msonga, sherehe iliyohudhuriwa na viongozi mbalimba wa vyama vya siasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK