TAKUKURU watoa onyo kuelekea Uchaguzi “hata t-shirt ni rushwa”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewataka wananchi kuepukana na vishawishi vya rushwa ili kuwachagua viongozi.

Hayo yamebainishwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig.Gen John Mbungo ambapo amesema wanaendelea kuimarisha mbinu za uchunguzi wa makosa ya rushwa katika uchaguzi ujao.

“Ni dhamira ya TAKUKURU kuona kwamba umakini wa kuchagua viongozi waadilifu, wazalendo na wasiojihusisha na vitendo vya rushwa,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad