AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Za Motomoto ya Risasi, Tanasha alisema kuwa kama mwanamke atafanya kama vile walikuwa wakifanya wazazi wa kizamani, wanalea na kunyonyesha mpaka umri unaostahili.
“Mimi sidhani kwa kweli kama nitaweka usistaa duu kwenye malezi kwa sababu nitakuwa siyo mama halisi nataka nilee kizamani kabisa kama wazazi wetu walivyotulea na nitanyonyesha mpaka mwisho,” alisema Tanasha ambaye anatarajia kujifungua hivi karibuni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK