Urusi kuikabidhi India mfumo wa ulinzi wa makombora

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inaripotiwa kuwa nchi ya Urusi itakabidhi India mfumo wa ulinzi wa makombora wa S-400 kati ya miezi 18-19 ijayo.

Siku chache zilizopita viongozi wa India na Urusi waliingia makubaliano yenye kugharimu Dola Bilioni 5 kwa ajili ya ununuzi wa mfumo huo, licha ya Marekani kutisha India na vikwazo dhidi ya ununuzi wa mfumo huo.

Mfumo wa ulinzi wa S-400 unaweza kurusha kombora hadi umbali wa kilomita 400 na kudungua hadi silaha 80 ukilenga makombora mawili kwa kila moja.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad