AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkali kutokea kwenye game ya Hip Hop Farid Kubanda a.k.a Fid Q amezungumza sababu zilizopelekea yeye kuhairisha show yake ya MTV BASE SHOW CASE aliyokuwa anatarajia kuifanyika nchini Afrika kusini September 6 2019.
Fid Q amesema vurugu zinazoendela Afrika kusini kuhusu wageni zimechangia yeye kuhairisha kwenda kufanya show nchini humo. Bonyeza PLAY hapa chini kutazama zaidi alichozungumza Fid Q.
VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK