Vurugu za Afrika Kusini zapelekea Fid Q Kuhairisha Show Yake Kwa Madiba (Viideo )

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkali kutokea kwenye game ya Hip Hop Farid Kubanda a.k.a Fid Q amezungumza sababu zilizopelekea yeye kuhairisha show yake ya MTV BASE SHOW CASE aliyokuwa anatarajia kuifanyika nchini Afrika kusini September 6 2019.

Fid Q amesema vurugu zinazoendela Afrika kusini kuhusu wageni zimechangia yeye kuhairisha kwenda kufanya show nchini humo. Bonyeza PLAY hapa chini kutazama zaidi alichozungumza Fid Q.

VIDEO:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad