AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu hiyo ilitajwa kuwa inataka kununuliwa na bilionea huyo Mwarabu kwa pauni bilioni 3 lakini maombi yakakataliwa.
Mashabiki wa United wanaamini familia ya Glazer imeshindwa kuiongoza klabu hiyo na hivyo suluhisho pekee ni Bin Salman kuinunua United.
Kura zimepigwa zaidi ya 8,000 ambapo zimeonyesha kuwa ni muda wa mabadiliko.
Kumekuwa na taarifa kuwa mmoja wa wamiliki wa United, Kevin Glazer anataka kuuza hisa zake za asilimia 13.
Pamoja na mipango hiyo ya Kevin kutaka kuuza hisa zake lakini bado kutatakiwa ushawishi mwingine utoke kwenye familia yake ambapo kwa pamoja wanamiliki hisa za kuimiliki United ambao ni Avram, Joel, Bryan, Edward na Darcie Glazer.
Familia hiyo ya Kimarekani iliinunua United kwa pauni 790m miaka 14 iliyopita lakini kumekuwa na madeni mengi ambapo mashabiki wanaamini yamechangia timu yao kutokuwa sawa kiuchumi
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK