Bondia Aliyepata Matatizo ya Ubongo Katika Pambano Afariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bondia wa Marekani Patrick Day amefariki baada ya kulazwa siku nne hospitali kwa ajili ya matibabu ya matatizo ya ubongo aliyoyapata katika pambano lake la dhidi ya Charles Conwell jumamosi iliyopita .

Baada ya kuanguka na kupoteza fahamu katika raundi ya kumi, Patrick alikimbizwa hospitali, ambako alifanyiwa upasuaji ambao hata hivyo haukunusuru maisha yake hadi ilipotangazwa jana kuwa amefariki .

Akizungumza kwa masikitiko makubwa kufuatia kifo cha Patrick, Charles Comwell ameungana na wadau wa michezo kote duniani kuomboleza kifo cha bondia huyo mwenye umri wa miaka 27 .

Akijibu salamu za heri kutoka kwa watu mbalimbali duniani kote, Promota Lou Dibella ambaye pia aliwakilisha familia ya Patrick, amewashukuru wadau hao kwa upendo wao tangu Patrick akutwe na matatizo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad