"Cheni yangu ni kodi ya mwaka ya mtu" - Whozu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mchekeshaji, Whozu amewajibu wanaodai kuwa hana pesa na kudandia kwa ndugu ili kuendelea kuishi mjini.

Whozu amesema kwamba maisha yake hapendi kuyaweka sana mtandaoni kwahiyo hakuna haja ya kila mtu kujua anachokifanya lakini ukweli anao yeye na vitu anavyomiliki vina thamani kubwa.

"Simzuii mtu kuniongelea vibaya, ninaangalia maisha yangu. Hii cheni hapa ni kodi ya mtu kabisa tena ni ya miezi sita au mwaka mzima", amesema Whozu.

"Ninachoweza kusema ni kwamba watu waangalie na kusapoti kazi zangu tu kama mwanzo. Kuhusu hela zangu mimi sichezei, ninafanya vitu vya msingi", ameongeza.

Whozu anatamba na wimbo wa Doko huku pia akishirikishwa katika wimbo wa Sensema wa Hamisa Mobetto ambao umechiwa hivi karibuni.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad