AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) alizaliwa Oktoba 29, 1959 Wilayani Chato Katika Mkoa wa Geita.
Uongozi na wafanyakazi wote wa Global Group tunakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa Rais Magufuli, uishi miaka mingi zaidi hapa duniani, Mwenyezi Mungu akupe afya, ulinzi na hekima ili uiongoze vyema Tanzania na watu wake kwa umoja, mshikamano, amani na maendeleo thabiti kwa vizazi vya leo na vijavyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hata mimi Nakutakia furaha ya siku yako ya kuzaliwa 'happy birthday to you Mr President'
ReplyDeleteMzee Baba.
ReplyDeleteUmuri ni Namba. Wewe kwa sasa kwa mtazamo wangu na Uchapa Kazi wako na Neurological Alertness which you have demonstrated and are enjoying. You are as good as 27 years Magu.
Happyy birthday Kipenzi chetu. Inshalllah Allah akupe umuri tawile utunyooshee na kututumikia ukiwa na afya njema Ya Rab muhifadhi Magufuli wetu. Alhamishi baada ya Salat Ishaa
tunakufanyia Fatiha na Dua. Wote mnakaribishwa umuombea kipenzi chetu
misikiti yote na nyumbazote za Ibada.