AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiwa katika Kongamano la Wanaume lenye lengo la Kupinga Mila potofu amesema watu wasiofunga ndoa wanaongeza watoto wa mtaani kwani wanakaa, wanazaa na mwisho wa siku wanaachana na kuacha Watoto wa mtaani.
Amesema; “Hizi ‘Lock Up’ zimetengenezwa kwa ajili ya nini? Wahalifu kama hao. Huyo ni Mualifu. Na kwenda ‘lock Up’ ni kawaida tu kwani lile ni jengo na ni la Serikali limejengwa litumike, likilala bila mtu ni hasara. Matumizi mabaya ya pesa ya Umma.”
Aidha, amebainisha; “Ukishakuwa na ndoa na iheshimiwe, kuwa kwenye ndoa maana yake wote ni sawa. Kuwa kichwa cha nyumba haimaanishi hauwajibiki kuleta chakula, kwenda shamba, kutunza watoto na mke au kuleta nguo za mama na watoto nyumbani.”
Amesisitiza, “Kuwa kichwa maana yake Watoto wapate chakula, waende shule na uwalipie wapate chakula shuleni. Pia ununue sare za Watoto za shule.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Elimu ya maadili na mahubiri ya neno la Mungu vinahitajika.
ReplyDelete