AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema hivi karibuni mkewe alibadilika sana, Pia akawa anamuibia pesa mara Kwa Mara Mara ikiwemo kumuibia naira million 1 ya Nigeria takribani millioni 6.3 za Kibongo. Alimfungulia pia duka mke huyo lakini akawa haachi wizi wa pesa zake. Ambapo mara Kwa Mara alikuwa akitoka na watoto hao watatu. Ikatokea jamaa akawauliza watoto hao huwa mnaenda wapi na mama yenu wakamwambia kwa anko flani ndipo kengele ya tahadhari ikamjia akaanza uchunguzi Kwenye akaunti ya Facebook ya mkewe huyo ambapo mmoja wa ex wa mkewe alionekana kufanana na mtoto wa kwanza
Baada ya kwenda kupima DNA majibu yameonesha licha ya watoto wote kuzaliwa ndani ya ndoa yao lakini mtoto wa kwanza na wa Mwisho ambao wote ni wa kiume sio wake bali mtoto wa pili ambaye ni wa kike ndie wake. Lakini amesema hata alipomuuliza mkewe huyo hakuonekana kushtuka wala kujali kuonesha kuwa anaujua mchezo wake muda mrefu
Kwasasa mke huyo ametokomea kusikojulikana na watoto hao ambapo jamaa kupitia Facebook ametaka wanaojua alipo wamuibue akionekana kuwa na hasira sana
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK