Magufuli Alipuka Kwa Hasira Kali Mno "Wanadanganya nini Hawa Vilaza Wakubwa, Unataka Wanywe Mkojo Wako! Feasibility Study Miezi 6? " Wadau Wampongeza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haya hapa ni baadhi ya maoni ya wadau baada ya kutazama Video Hiyo Hapo Chini...Kweli Tanzania Tumepata Rais


Maoni:
Danford Mwangesile
5 hours ago
Utamdanganyaje mwalimu mwenye uhakika na kazi yake 2+2= 8 wapi na wapi. Magufuli atabaki kuwa juu zaidi kwa kweli Mungu aendelee kumlinda kila iitwapo leo



  • Diamond Brand

5 hours ago
Mzee huchukii kwa ubinafsi. Unachukia kwaajili ya watanzania. Sitoamini kama kuna mtu hakubali hasira zako.


Boniface Mohono
5 hours ago
Yaani huyu raisi mpk nimelia  kwa furaha Mungu mkuu nifute machozi kwa kumlinda huyu mtumishi wako dhidi ya maadui na maharamia wasiopenda maendleo tuko mbele yako kulinda




NAFASI ZA AJIRA ZILIZOTANGAZWA LEO BONYEZA HAPA

Henry Stanley
4 hours ago
ulitaka wanywe mkojo wake....😃😃😃😃😃😃
Kwa kweli hapa mzee yuko sawa... enginear kazi hana...nimemsikia waziri akisema "tunamuondoa"


malugu kushaha
3 hours ago
Nimejisikia mwenye furaha kupata Rais kama huyu. Hakika mi nakuombea kwa mwenyezi mungu akujalie afya njema Rais wetu Magufuli.


Tazama VIDEO


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. M mungu alishasema haki na batwili haiwezi kuishi nyumba moja. No matter how long haki itashinda tu. Jpm chapa kazi baba tukicheka na ngedele tutavuna MABUA. Sisi wanyonge tunakuelewa na tunakuonbea. Km mimi huwa naomba mpaka kitezo kinarukaruka. M mungu na mitume wetu Mohammed na Isa mwana wa Mariamu - Yesu wote wanakuombea.

    ReplyDelete

Top Post Ad