Kishindo cha JPM, Ahamia Rasmi Dodoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo amehamia rasmi Jijini Dodoma na kwenda kujiandikisha kwenye daftari la orodha ya wapigakura katika kituo cha Sokoine kitongoji cha Sokoine wilayani Chamwino.

UWT yasisitiza madaraka 50 kwa 50
Akizungumza na wananchi waliokuwepo kwenye kituo cha kujiandikishia, Rais Magufuli amesema ameshahamia rasmi makao makuu ya nchi na kuwaahidi wananchi wa Chamwino kuwa tatizo la maji walilonalo litafanyiwa kazi haraka.

” Nimehamia rasmi Dodoma, nimejiandikisha katika eneo langu na nitapiga kura hapa hapa tarehe 24 kuwachagua viongozi wangu wa mtaa” amesema Rais Magufuli.


Ikumbukwe kuwa mwaka 2016 Serikali ya awamu ya tano ilihamia rasmi jijini Dodoma na Aprili 2019 Rais Magufuli alizindua mji mpya wa Serikali, ambao ndiyo makao makuu ya wizara zote.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad