Video: MAJONZI! kijana Aliyepumlia Mashine, Alikisema Kifo Chake, Neno Lake la Mwisho Lawaliza Ndugu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Majonzi yatawala Ukonga majumba sita, baada ya kijana aliyekuwa anaishi kwa kupumlia mashine kufariki jana jioni, akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Mloganzila.

Kijana Hamad Awadh (28), aliishi kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja akiwa na matatizo katika njia ya upumuaji.

NAFASI ZA 98 AJIRA ZILIZOTANGAZWA LEO BONYEZA HAPA>>AJIRA YAKO


Dar 24 ilifika nyumbani kwake mwezi Agosti mwaka huu ili kumsaidia kupata msaada kutoka kwa wasamalia wema wa fedha za matibabu na wiki kadhaa baadaye alifanikiwa kupata na kuanza kupatiwa matibabu Muhimbili.

Siku ya Alhamisi majira ya saa kumi jioni alifariki, ndugu zake wameeleza jinsi walivyoishi naye enzi za uhai wake, na jinsi alivyokiona kifo chake,…Bofya hapa kutazama.


VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad