Mamlaka ya Hali ya Hewa yatoa tahadhari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua kubwa katika Mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera na sehemu ya Mkoa wa Simiyu.

Ikitoa utabiri huo wa siku tano kuanzia leo TMA imesema mvua hizo zitakazokuwa za wastani zinaweza kusababisha uharibifu wa barabara, madaraja na miundombinu mingine hivyo mamlaka zinazohusika zinatakiwa kuchukua tahadhari.

Hivi karibuni TMA iliripoti juu ya kutokea kwa mvua Ukanda wa Pwani Mikoa ya Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba ambayo ilileta madhara ikiwemo vifo na uharibifu wa mali.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad