Maulid Kitenge athibitisha kujiunga Wasafi FM Aishuru EFM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji Maulid Kitenge tayari amethibitisha kuwa ameshajiunga Wasafi FM akitokea redio E FM.

Inaelezwa Kitenge na wenzake watakuwa kwenye kipindi cha michezo ambacho kitaanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo (Jumatatu - Ijumaa) kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 5) kikijulikana kwa jina la Sports Arena.

"Asanteni E FM  kuwa nami katika wakati mzuri na mbaya. Lakini muda mwingi ulikuwa mzuri sana. Nisingekuwa chochote bila nyie. Nitamisi udugu wetu wa wakati wote ambao tulishirikiana kwenye mapambano pamoja, mmekuwa watu wa muhimu sana na mnisamehe pale nilipowakwaza," ameeleza Kitenge kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Watangazaji wengine wanaoelezwa kuungana na wawili hao Wasafi FM ni Mwanaidd Suleiman, Edo, Ahmed Abdallah na Mchambuzi Edo Kumwembe.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad