Ndege Yachomoka Gurudumu, Yashuka kwa Dharura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


NDEGE ya Shirika la Silverstone imelazimika kutua kwa dharura baada ya gurudumu lake kuanguka wakati ikipaa, jana Jumatatu, Oktoba 28, 2019.



Ndege hiyo aina ya Dash 8 – 300 iliyokuwa ikitokea Lodwar kwenda Nairobi ililazimika kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Eldoret jijini Nairobi nchini Kenyawakati ikiwa imebeba abiria wanne ambao walikuwa wakisafiri kutoka Lodwar kuelekea Jijini Nairobi.



Abiria wote wamesalimika na kutafutiwa usafiri mwingine wa ndege ya shirika la Skyward iliyowapeleka hadi Nairobi.



Inaelezwa kuwa, Octoba 11, mwaka huu, ndege hiyo ililazimika kutua baada ya kupoteza mwelekeo wakati ikitokea Nairobi kwenda Lamu.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad