AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyasema hayo jana wakati wa ziara yake ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake
"Msubiri hata chungwa huwa haliliwi likiwa bichi, hata embe ambalo halijakomaa huwa chungu, ninyi bado ni wachungu," Rais Magufuli.
Aidha amewaomba wanafunzi hao kujiepusha na suala la ngono na kuwatahadharisha kuwa licha kupata mimba lakini pia yapo magonjwa hatarishi kama Ukimwi na kuwataka wamalize shule
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK