AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Tanga na visiwa vya Pemba na Unguja.
Taarifa hiyo iliyotolewa na TMA, Imesema kuwa mvua kubwa itanyesha siku mbili yaani Alhamisi Oktoba 17 na Ijumaa Oktoba 18, 2019 hivyo wananchi wachukue tahadhari na mvua hizo.
Madhara yanayoweza kujitokeza ni pamoja na watu kuchelewa kazini, Na kusimama kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi na kijamii
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK