AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania, (Wallace Karia) leo amewaongoza mashabiki wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kukipokea kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo Oktoba 10, 2019 Uwanja wa Kimataifa wa Julius Kambarage, Nyerere.
Mapokezi haya yamefanyika kutokana na Kufuzu Kushiriki Michauano ya CHAN inayotarajiwa kufanyika nchini Cameroon baada ya kuiondoa Sudan kwa kuifunga mabao 2-1 jana.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK