TID amzuia DJ ndani ya Club kupiga nyimbo za Nigeria ‘

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa bongo Fleva, TID jana usiku amemzuia DJ K3 kupiga nyimbo za Nigeria na badala yake kumtaka apige ngoma za Tanzania tu kwani angekuwa Nigeria na angepiga nyimbo za Tanzania ndani ya Club zao wangemuua.



TID amesema hayo usiku wa jana kwenye Party yake maalum aliyoifanya ndani ya Club Elements ya kusikiliza wimbo wake mpya wa ‘ANY MORE’ aliomshirikisha Lady Jaydee.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad