AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa bongo Fleva, TID jana usiku amemzuia DJ K3 kupiga nyimbo za Nigeria na badala yake kumtaka apige ngoma za Tanzania tu kwani angekuwa Nigeria na angepiga nyimbo za Tanzania ndani ya Club zao wangemuua.
TID amesema hayo usiku wa jana kwenye Party yake maalum aliyoifanya ndani ya Club Elements ya kusikiliza wimbo wake mpya wa ‘ANY MORE’ aliomshirikisha Lady Jaydee.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK