Utafiti: Mwanamitindo Bella Hadid Ndiye Mwanamke mwenye mvuto zaidi duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa na mwanamitindo, Bella Hadid kutoka nchini Marekani, ametajwa kuwa mwanamke mzuri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi.

Utafiti huo ujulikanao kama Golden Ratio of Beauty Phi, ambao ni utafiti wa kisayansi unaoonyesha matokeo yaonyeshayo uso mzuri, umemtaja mrembo huyo kuwa ndiye mzuri zaidi akiwapiga chini warembo wengine kama Gigi Hadid, Beyonce, Cara Delevingne na Katy Perry.

Bella, 23 amejibebea taji hilo baada ya kupata 94.35% ya vipimo hivyo na kumfanya mtu aliyekaribia zaidi 100% ya vipimo hivyo ambayo ndio vinatajwa kuonesha sura nzuri.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad