AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abiy Ahmed, ametunukiwa tuzo hiyo kwa mwaka 2019 kutokana na juhudi zake za kuleta Amani na kusuluhisha Mgogoro wa mpaka kati ya Ethiopia na Eritrea
Mwenyekiti wa Kamati inayotoa tuzo hiyo, Berit Reiss-Andersen, amemuelezea Abiy kuwa kiongozi aliyeleta mabadiliko licha ya kuchafuliwa Julai mwaka jana, lakini amesuluhisha mgogoro uliodumu kwa takriban miaka 20
Aidha, Serikali iliyoundwa na Abiy Ahmed inasifiwa kwa kuwa na Mawaziri na Viongozi wa kike wengi zaidi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK