Wema Akumbushia Sehemu Anayotaka Azikwe Siku Akifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KWELI mambo ni mengi muda mchache! Staa wa Bongo Movies asiyechuja, Wema Isaac Sepetu amekumbushia kuwa sehemu atakayozikwa ni palepale pembeni ya baba yake, Balozi Sepetu kule Chuini visiwani Zanzibar.



Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Wema amesema ni muhimu kukumbusha watu kila mara maana wanaweza kupitiwa na kumpeleka sehemu ambayo mtu haipendi.



“Najua watu wanaweza kujisahau hivyo ni vizuri kuwakumbusha mahali ambapo mtu anataka apumzishwe siku ikiwadia,” amesema Wema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad