AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utafiti uliofanyika hivi karibuni nchini Korea unaonyesha kuwa, binadamu anaweza kupata madhara makubwa kiafya endapo atalala kupita kiasi.
Kwa Mujibu wa Daktari Evan Rosenbuth, ripoti ya utafiti huo inaainisha madhara hayo kuwa ni pamoja na kuleta hitilafu kwenye utandaji kazi wa ubongo, hivyo mhusika kuchukua muda mrefu katika kufikiri tofauti na mtu anayelaal kwa wastani.
“Utafiti huo unakwenda mbali zaidi na kueleza kuwa, kulala kupita kiasi kunaweza kumsababisha mhusika kupata aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari na vilevile kusababisha matatizo ya moyo,” aliseama Dk Rosenbluh.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK