Rapper T.I "Nampima KILA Mwaka Mwanangu wa Kike Kuangalia Kama Bado Anabikira"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapper T.I. ni baba fulani hivi mnoko, ameweka wazi kwamba huwa anamchunguza binti yake kwa kumpeleka kwa daktari wa wanawake kuangalia kama bado ni bikra.

Kwenye mahojiano na mtangazaji Nazanin Mandi na Nadia Mohan kupitia Podcast "Ladies Like Us" T.I. ambaye ni baba wa watoto sita amesema kila mwaka huwa anampeleka kwa daktari binti yake huyo Deyjah Harris (16) kumchunguza kama ni bikra
-
"Not only have we had the conversation. We have yearly trips to the gynecologist to check her hymen. Yes I go with her." Amesema T.I.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad