Ali Kiba Atangaza Vigezo vya ziara yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba ametaja mkoa ambao ataanzia kwenye ziara yake ya muziki ambayo itaambatana shughuli za kijamii, afya, michezo, huku akitoa pamoja na vigezo vya msanii atakayepata nafasi ya kuwepo kwenye tamasha hilo.

Alikiba ameiambia EATV & EA Radio Digital, baada ya kutua studio za East Africa Television ambapo amesema ziara yake hiyo inayoitwa Unforgettable Tour, itaanzia mkoani Mwanza siku ya Novemba 29.

"Nilikuwa nataka nikasheherekee birthday yangu, Mwanza ni watu wangu ambao walikuwa wananipa sapoti siku zote, nikifanyaga show vilevile ni mji mzuri sana na mkubwa. Watu wanajielewa wako vizuri na ukiwapelekea burudani ni watu wa nguvu kiukweli", amesema Alikiba.
Akizungumzia vigezo vya msanii kupata nafasi ya kuwepo kwenye tamasha lake, Alikiba amesema, "tamasha ni kwa wale wasanii ambao nimefanya nao kazi ,  kwa hiyo tutakuwa tunatambulisha nyimbo "Live" na msanii fulani aliyefanya kazi na Ali Kiba, kuna wasanii wenzangu ambao wangependa kufanya kazi na mimi siku zote huwa wananisapoti, kwahiyo ratiba itabadilika", ameongeza.

Pia Ali Kiba amesema kuna uwezekano mkubwa  wa kuwepo kwa  suprise ya msanii yeyote kutoka nje ya nchi.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad