Boti mpya ya kisasa ya Kilimanjaro VII yawasili Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Boti mpya ya Kilimanjaro VII inayomilikiwa na Bakhresa Group chini ya Azam Marine na ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu imewasili leo kutoka kiwandani Australia.

Boti hiyo itakayokuwa na huduma za kisasa zaidi hapa Tanzania, imefika Zanzibar ikiwa imebebwa juu ya meli maalum.

Kwa mujibu wa kampuni ya Azam Marine, boti hiyo inafanyiwa ukaguzi na kukamilisha taratibu nyingine za kimamlaka kabla ya kutangazwa muda wa kuanza huduma zake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad