Rais Magufuli achangia Milioni 100 mfuko wa Wasanii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amepiga simu kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa atachangia Milioni 100 mfuko wa wasanii.

Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere linafanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaaam.

"Nimepokea simu kutoka kwa mtu muhimu sana, kutoka kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema wasanii ni watoto wake hivyo atachangia Milioni 100," alisema Rais Magufuli.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli katika Kongamano hilo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad