Sheva Apewa Ulinzi Maalum Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSHAMBULIAJI wa Simba, Miraji Athuman ‘Sheva’ amepewa ulinzi maalumu ndani ya Simba ambao utamwezesha kuwa katika afya nzuri muda wote.



Hatua hiyo, imekuja baada ya mchezaji huyo hivi karibuni kukosekana katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Prisons ambayo Simba ilishindwa kupata ushindi baada ya kusumbuliwa na maumivu ya mwili.



Akizungumza na Championi Ijumaa, mmoja wa viongozi wa benchi la ufundi la Simba ambaye ameomba hifadhi ya jina lake, alisema kuwa hivi sasa Sheva pamoja na wachezaji wengine, wamepewa ulinzi maalumu. “Tunaendelea vizuri na maandalizi yetu katika kipindi hiki ambacho ligi imesimama kupisha mechi ya timu ya taifa.


“Lakini jambo kubwa ambalo kwa sasa lipo kikosini kwetu ni mkakati kabambe kuhusiana na wachezaji, kwani hivi sasa wamepewa ulinzi mkubwa wa afya zao. “Madaktari wametakiwa kufanya kazi yao ipasavyo ili kila mchezaji awe fiti muda wote.



Kukosekana kwa Sheva katika mechi yetu na Prisons lilikuwa ni pigo kwani pengine angekuwepo tungepata ushindi kutokana na aina ya uchezaji wake,” alisema kiongozi huyo.



Alipoulizwa kuhusiana na hilo, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems alisema: “Afya za wachezaji ni jambo muhimu sana kwangu, kwani unapokuwa na majeruhi wengi timu itakumbana na changamoto nyingi uwanjani kwa hiyo ni lazima tuwe makini kuhakikisha wanakuwa fiti muda wote.



YOU MAY LIKEMgid

Her 50 Kg Weight Loss Took Weeks With 1 Simple Solution

Drink 1 Glass Every Night And Watch Your Fat Burn Like Crazy

You Won't Believe The Results That People Are Getting From This

She Let The Whole World Know That She's A Pansexual

Weka utabiri wak! Jisajili na ushinde bonasi leo hii!

Love Lasts Longer When You Break These 6 Rules

TOA COMMENT

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad