CUF wajitoa uchaguzi serikali za mitaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba amesema chama hicho hakitashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24 mwaka huu.

Pia Prof. Lipumba amebainisha kuwa watakaotangazwa watawahesabu sio halali, huku akiwataka wanachama wake kutoshiriki Uchaguzi huo kwa namna yoyote ile.

Uamuzi huo umefikiwa mara baada ya Leo asubuhi Baraza Kuu la chama hicho kukutana pamoja na kujadili kuhusu uelekeo wa CUF katika uchaguzi huo iwapo watashiriki au kutoshiriki.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad