Diamond Afunguka Kuhusu WASANII Kuchonganishwa na Maneno ya Uongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platinumz amewataka wasanii wenzake kutokubali kuchonganishwa na kugombanishwa jambo ambalo halina tija kwa sanaa.

Kauli hiyo ya Diamond imekuja baada ya kuwashukuru wasanii wenzake wa ndani na nje ya Tanzania walioshiriki Wasafi Festival kwa kuleta mapinduzi katika tasania ya burudani nchini humo.

Amesema kwa muda mrefu kumekuwa na dhana ya ugomvi lakini tamasha la Wasafi lililohitimishwa jijini Dar es Salaam Jumamosi iliyopita Novemba 9, 2019 limekwenda kufuta dosari hiyo.

“Zamani kulikuwa na mambo ya uchonganishi, tulikuwa hatuendi kwenye shoo za wenzetu. Kupitia wasafi festival tumeifuta hiyo na nyie mkiwa na shughuli zenu nialikeni, tunavyojiweka mbali ndio tunatengenezewa maneno ya uchonganishi.” 
“Tunachonganishwa vitu vya uwongo na kweli tunachukiana wakati kila mtu ana mafanikio yake katika sehemu yake,” amesema Diamond
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad