Esma: Diamond, Tanasha ndoa kama kawa!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Esma Khan amefunguka kuwa watu wanao-fikiria ndoa ya kaka yake huyo na mpenzi wake mpya, Tanasha haipo wamechemsha.


Akizungumza na Showbiz Xtra, Esma alisema kwa sasa kaka yake yuko bize na ziara na ndiyo maana mara nyingi haonekani na mpenzi wake huyo lakini wako vizuri na mpango wa ndoa uko palepale.



“Sasa yule si ndiyo wifi wa kaka yangu jamani hakuna wa kubadilisha hilo na ndoa ipo kama kawaida tujipange tu kusherehekea na vigoma vya Kigoma,” alisema Esma huku akicheka.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad