Harmonize aachia Video ya “Uno”,

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Harmonize maarufu kama Konde Gang, Jeshi la mtu mmoja tayari ameachia ngona yake ya Uno iliyosumbua katika kona mbalimbali za mitandao ya kijamii ikiwemo YouTube kwa kuwa namba moja ”Trending” siku moja mara baada ya kuachiwa sauti ya wimbo huyo na kukaa kileleni ikishikilia nafasi hiyo kwa takribani siku 7 sawa na wiki moja.

Ni ngoma iliyosubiriwa kwa hamu zote, kwani ni ngoma ambayo ilikuwa inapima uwezo wa Hormonize akiwa nje ya kundi alilojing’oa Wasafi na kuona kama bado anaweza kufanya maajabu, kwani msanii mwenza Rich Mavoko mara tu baada ya kujiondoa kundini, na nguvu yake ikafifia si Mavoko yule aliyekuwa ndani ya Wasafi bali Mavoko yule kabla ya kujiunga Wasafi.

Harmonize ameonekana kujipanga, Uno ni ngoma nzuri ameifikisha mbali na huenda ikamletea tuzo mbalimbali, tayari Harmonize ameonekana kukubalika na watu, kama tulivyoona tamasha aliloandaa Mbagala akiutambulisha wimbo huo wa Uno, watu walijitokeza kumshangilia na kumpa sapoti.

Tazama ngoma ya Uno hapa chini, kisha shusha komenti yako je ameitendea haki au amepuyanga?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad