AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kesi hiyo imeahirishwa leo Alhamisi, Novemba 7, 2019 na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Kevin Mhina hadi Novemba 21, mwaka huu kwa ajili ya kusomewa hukumu.
Malinzi pamoja na wenzake wanakabiliwa na mashitaka mbalimbali ikiwemo kughushi na kutakatisha fedha kwa nyakati tofauti.
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni pamoja na aliyekuwa katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Celestine Mwesigwa, Karani Frola Rauya pamoja na Mhasibu Nsiande Mwanga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK