Ubonge wa Shilole Was Kizaa Zaa Insta Wamtaka Aombe Darasa kwa Wema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KILA mtu na aina yakeya maisha, lakini huko Instagram wapo watu wanakupangia hadi mwili wako uweje.

Hiyo imemtokea staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ambapo amedaiwa kuwa amekuwa bonge kupitiliza hivyo apungue.

Kwenye ukurasa wa Instagram, mtu anayejiita betting_tips_222, alitupia picha ya hivi karibuni ya Shilole na kumtaka apungue ambapo alimshauri amuige Wema ili angalau kidogo mwili uwe na mvuto. “Mwambie Wema Sepetu akupe darasa

usione aibu umekuwa kama jaba la kutunziamaji ya mvua,” aliandika betting_ tips_222 lakini hata hivyo Shilole hakumjibu chochote licha ya kipande hicho kusambaa kwenye kurasa nyingi za watu Instagram.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad