Kocha wa Simba SC Patrick Aussems ajibu tuhuma za kufurushwa kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha wa Simba SC Mbelgiji Patrick Aussems amethibitisha ameondoka nchini Tanzania kwa siku mbili kwa sababu binafsi na anataraji kurejea kesho kufanya maandalizi ya mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting Jumapili hii Novemba 24 mwaka huu.

Kauli ya kocha huyo kupitia mitandao yake ya kijamii amefutilia mbali uvumi wa yeye kuhama Simba SC kimya kimya.

“Niliondoka kwa siku mbili kwa sababu zangu binafsi, itarudi kesho kuandaa timu kwa ajili ya mechi na Ruvu ili tuweze kupata pointi tatu," ameeleza  Patrick Aussems.

Simba SC mpaka sasa wapo kileleni mwa ligi kuu Tanzania Bara,wakiwa wamecheza mechi 9, wakishinda mechi saba, sare moja, wamepoteza mechi moja na kukusanya pointi 22.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad