AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa Simba SC Mbelgiji Patrick Aussems amethibitisha ameondoka nchini Tanzania kwa siku mbili kwa sababu binafsi na anataraji kurejea kesho kufanya maandalizi ya mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting Jumapili hii Novemba 24 mwaka huu.
Kauli ya kocha huyo kupitia mitandao yake ya kijamii amefutilia mbali uvumi wa yeye kuhama Simba SC kimya kimya.
“Niliondoka kwa siku mbili kwa sababu zangu binafsi, itarudi kesho kuandaa timu kwa ajili ya mechi na Ruvu ili tuweze kupata pointi tatu," ameeleza Patrick Aussems.
Simba SC mpaka sasa wapo kileleni mwa ligi kuu Tanzania Bara,wakiwa wamecheza mechi 9, wakishinda mechi saba, sare moja, wamepoteza mechi moja na kukusanya pointi 22.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK