Kwa Staili Hii Mnayotumia Wanawake wa Mjini Single Mother Wataongezeka Maradufu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inasikitisha kwa kweli!

Sijui Mungu aliwapa ubongo wa aina gani hawa wanawake

Muda kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti mmoja ivi hapa mtaani, tukafanikiwa kuyaanza maisha ya mapenzi huku tukifurahia maisha hasa chachu ya penzi letu ikiwa ni kugegedana!

Ajabu huyu mwanamke nimekaa naye miezi mitatu yote hii wala hata hanishirikishi mipango yake, mafikirio yake kwangu kumbe ilikuwa ni kumuoa kabisa, lakini hii haikua shida

Shida imekuja baada ya yeye kujitegeshea mimba tena kimya kimya na hadi sasa inaumri wa mwezi ndio ananipa taarifa!

Enyi wanawake nipende kuwambieni tu kwamba, mimba sio kigezo cha kuolewa!
Mimba huhusisha mipango ya mume na mke, lini wazae na maisha ya mtoto yatakuaje

Sasa nyie mnakurupuka tu eti unatega mimba ahahahahah

Kwa mtindo huu single maza mtakuwa wengi sana huku mtaani na mtaishia kutulaani tu na laana wala hazitatufikia kwa namna hii, tutawatelekeza sana
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad