Mbwana Samatta aweka rekodi Anfield

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbwana Samatta amekuwa ni Mtanzania wa kwanza kufunga goli katika uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Katika mchezo huo klabu ya Samatta, KRC Genk ilipoteza kwa goli 2-1 dhidi ya Liverpool katika mchezo huo wa marejeano.

Samatta aliisawazishia timu yake kunako dk 40' baada ya Liverpool kutangulia dk 14' kupitia Wijnaldum, kabla ya Chamberlain kuwafungia goli la ushindi dk ya 53'.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad