Mkuu wa MKOA Paul Makonda Afunguka Haya Kwa Waziri MKUU Kuhusu Tamasha la FIESTA Litakalo Fanyika Uwanja wa Uhuru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe. Paul Makonda amemualika Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kuhudhuria kilele cha tamasha la Fiesta litakalo fanyika Disemba 8 mwaka huu katika uwanja wa Uhuru.

Amesema
“Dar Es Salaam ni Mkoa wa Burudani, Mh. Waziri Mkuu baada ya stress za kazi Makao Makuu ya Nchi Dodoma tunakukaribisha uje Kula Bata kidogo Dar Es Salaam. Nichukue fursa hii kwa niaba ya Clouds Media na Fiesta kukukaribisha kwenye Fiesta December 08 pale Uwanja wa Uhuru DSM ili uje kuona Burudani zinazotolewa na hawa Vijana ambazo utazimiss ukirudi Dodoma”- RC Makonda amezungumza hayo kwenye Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere leo JNICC.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad