AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema
“Dar Es Salaam ni Mkoa wa Burudani, Mh. Waziri Mkuu baada ya stress za kazi Makao Makuu ya Nchi Dodoma tunakukaribisha uje Kula Bata kidogo Dar Es Salaam. Nichukue fursa hii kwa niaba ya Clouds Media na Fiesta kukukaribisha kwenye Fiesta December 08 pale Uwanja wa Uhuru DSM ili uje kuona Burudani zinazotolewa na hawa Vijana ambazo utazimiss ukirudi Dodoma”- RC Makonda amezungumza hayo kwenye Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere leo JNICC.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK