AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji wa BongoMovie Tanzania Esha Buheti amesema moja ya wasanii wakiume Tanzania ambao wanalelewa sana na wanawake ni Yusuph Mlela pamoja na rafiki yake Hemed Suleiman (PHD).
Muigizaji wa BongoMovie Tanzania Esha Buheti
Buheti ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kqwenye kurasa za Facebook na YouTube ya East Africa TV ambapo amesema anaatarifa watu hao wanahudumiwa na wanawake zao.
Buheti amesema kuwa "Ni kweli unajua kuna wasanii ambao mii nawafahamu japo wengine unajua siwezi kuwataja kwa sababu najua nitagombana nao bure."
'ila kwa sasa ninaowafahamu ni Mlela na rafikiyake Hemed PHD'; amesema Esha Buheti
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK