Mlela Esha Buheti Atoboa Siri Kubwa "Hemedi Wanalelewa na Wanawake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Muigizaji wa BongoMovie Tanzania Esha Buheti amesema moja ya wasanii wakiume Tanzania ambao wanalelewa sana na wanawake ni Yusuph Mlela pamoja na rafiki yake Hemed Suleiman (PHD).

Muigizaji wa BongoMovie Tanzania Esha Buheti

Buheti ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kqwenye kurasa za Facebook na YouTube ya East Africa TV ambapo amesema anaatarifa watu hao wanahudumiwa na wanawake zao.

Buheti amesema kuwa "Ni kweli unajua kuna wasanii ambao mii nawafahamu japo wengine unajua siwezi kuwataja kwa sababu najua nitagombana nao bure."

'ila kwa sasa ninaowafahamu ni Mlela na rafikiyake Hemed PHD'; amesema Esha Buheti
 
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad