Msanii Davido akamatwa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii Kutoka Nigeria, ameingia matatani baada ya Ugomvi uliopelekea shabiki aliyekuwa akimsumbua kupigwa na chupa kichwani.

Tukio hilo la fujo lilitokea Dubai ambapo Davido alikuwa akifanya show kwenye Tamasha la ONE AFRICA MUSIC FESTIVAL.

Inasemekana kuwa baada ya show, Davido alishuka jukwaani ndipo akakutana na shabiki aliyekuwa akilazimisha akutane Naye. Baada ya shabiki huyo kuzuiliwa alikasirika na kuamua kumpiga shabiki Mwingine na chupa kichwani.

Baada ya tukio hilo Davido alijitahidi kutoweka hilo lakini askari walifanikiwa kumkamata na kumtia ndani kusubiri uchunguzi zaidi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad