AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hiyo ilisambaa jana kwenye mitandao ya kijamii na kumfanya binti huyo Deyjah Harris kushambuliwa hadi kuzifuta akaunti zake za mitandao ya kijamii.
Binti huyo wa miaka 18, ameingia kwenye headlines za dunia baada ya baba yake mzazi, T.I. kuzungumza kwamba mara kwa mara huwa anampeleka binti yake huyo kwa daktari wa wanawake kumuangalia kama bado ana usichana wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK