Mwanaume Ahukumiwa Kwa Kumlisha Mtoto Wake Dawa ya Kulevya Aina ya Cocaine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanaume ambaye ni Baba wa Mtoto wa miaka 5 amefungwa jela kwa hatia ya kumlisha Mtoto huyo #DawaZaKulevya huko Marekani
-
Mtoto huyo alikutwa na dawa hizo kwenye mifuko wake wa daftari. Mwalimu alipomuuliza alimwambia kuwa Baba yake humpa 'Cocaine' ili ajisikie kama 'Spiderman'
-
Uongozi wa Shule uliwataarifu Polisi waliomkamata Mzazi na kumfungulia mashtaka
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad