AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ACHANA na maneno ya picha chafu za Meninah, msanii Burton Mwamba ‘Mwijaku’ ameibuka na kumfagilia mke wake kuwa ana akili sana na ni muelewa.
Mwijaku aliiambia Za Motomoto ya Risasi kuwa, hataki kuzungumza chochote bali anamshukuru sana Mungu kwa kumpa mke mwenye akili nyingi.
“Najua watu wanajua mke wangu kaniacha, sitaki kuzungumza mengi ila nina mke. Yaani ameshushwa kwa ajili yangu na ana akili nyingi, nampenda mno,” alisema Mwijaku.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK