Profesa Jay: Tusionane Wabaya!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKONGWE kunako Bongo Fleva na Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule ‘Jay’ amesema hakuna sababu ya wasanii kuonana wabaya, badala yake waungane na kushindana kwa kutoa ngoma kali ili kuupeleka muziki huu mbali zaidi.



Akizungumza na Ijumaa ShowBiz mara baada ya kuweka heshima kwenye Wasafi Festival, wikiendi iliyopita katika Viwanja vya Posta-Kijitonyama, Dar, Profesa Jay alisema, tofauti za wasanii zinasababisha Bongo Fleva ishindwe kufika mbali kutokana na chuki kati ya wasanii.



“Tusionane wabaya, tushindane, tusichukiane. Mabifu hayasogezi mbele muziki wetu. “Mfano Diamond na Kiba, natamani sana niingilie kati, lakini sijui chanzo,” alisema Jay ambaye anaamini Bongo Fleva sasa inafanya vizuri Afrika kiasi cha kutishia muziki wa Nigeria.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad