Ronaldo ampigia ‘debe’ Pogba Juventus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa timu ya Juventus inayoshiriki Serie A, Cristiano Ronaldo amewaomba mabosi zake wampe mkataba kiungo wao wa zamani Paul Pogba ambaye kwa sasa anakipiga Manchester United ndani ya Premier League.

Pogba ambaye timu yake ya Ufaransa ni mabingwa wa kombe la Dunia, uwezo wake umekuwa ni wa kusuasua ndani ya Old Trafford kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara.

Andre Onana aitamani ligi ya England
Real Madrid inayoshiriki La Liga imekuwa ikitajwa kuiwania saini ya nyota huyo huku kocha wao Zinedine Zidane akisema kuwa ni miongoni mwa viungo anaowakubali wakiwa uwanjani.

Kei Kamara aiponda Sierra Leone
Mabosi wa United wametaja dau la kukomoa kwa timu inayotaka saini yake ambayo inatajwa kuwa ni pauni milioni 80 na Juventus wanatajwa kuongeza juhudi ili kuinasa saini yake ifikapo mwezi januari.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad