AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mahiga ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma, leo Novemba 11, 2019, wakati wa kipindi cha maswali na majibu, ambapo amesema mpaka sasa Serikali kupitia RITA, wananchi mbalimbali wamepatiwa vyeti vya kuzaliwa ambavyo ni muhimu inapofika wakati wa mtu kuajiriwa.
Waziri Mahiga amesema "natoa wito kwa wananchi wote wasiokuwa na vyeti vya kuzaliwa kufika ofisi za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), kwa ajili ya kusajiliwa na kupewa vyeti ya kuzaliwa."
Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma, ambapo Mawaziri mbalimbali wanapata nafasi ya kujibu maswali kutoka kwa Wabunge.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK